Maswali Ya Nikaah - Talaka - Eda

Mume Anamfanyia Uchawi – Je Adai Talaka?
Mume Ananitaka Tena Baada Ya Talaka Tatu
Mume Anapenda Sana Muziki Anafaa Kuomba Talaka?
Mume Anataka Kunipa Talaka Kwa Sababu Siwezi Kumlea Mtoto Wa Mke Wake
Mume Anataka kuvunja ndoa yetu Nifanyeje?
Mume Haelewani Na Nduguze, Kampa Talaka Yumo Ndani Ya Arubaini Je, Talaka Yake Imesihi?
Mume Hajiwezi Je Mke Anaweza Kudai Talaka?
Mume Hajulikani Kama Kazama Baharini Au Yuhai, Je Mke Akae Eda?
Mume Hakufuata Taratibu Za Talaka
Mume Inampasa Amhudumie Mke Katika Eda? Mume Anayo Haki Ya Kudai Mahari Ikiwa Mke Anataka Kuachika?
Mume Kaahidi Kutoa Talaka (Tatu) Ikiwa Mke Alifanya Zinaa Kabla Au Baada Ya Kumuoa Naye Mke Amefanya Zinaa Lakini Ameficha
Mume Kamtamkia Mkewe Talaka Kisha Akataka Kumrejea Katika Eda, Mwanamke Anayo Haki Kukataa Kurudiana Na Mumewe?
Mume Kaniingilia Wakati wa Eda – Hatimizi Sheria Za Kunihudumia??
Mume Kanioa Kwa Kunidangangya Hana Mke Kisha Hataki Kunipa Talaka
Mume Kasema Nikifanya Jambo Nimetalikika Nami Nimefanya Na Kumdanganya Nini Hukmu Yake?
Mume Kumwambia Mkewe Kuwa Akistarehe Naye Ndio Talaka Sasa Anajuta Kwani Anamtaka Mkewe Afanyeje?
Mume Kutamka 'Kila Mtu Ajue Maisha Yake' Ina Maana Ni Talaka?
Mwanamke Ana Haki Kuomba Talaka Ikiwa Haridhiki Na Mumewe?
Mwanamke Anayo Haki Ya Kuwatii Wazee Wake Kudai Talaka Kwa Mumewe Ambaye Wamekaa Miaka Kumi Bila Kupata Kizazi?
Niko Kwenye Eda Ya Talaka Naweza kurudiana Na Mume Wangu?
Nilihama Nyumba Ya Mume Wangu Nikiwa Na Mimba, Mume Hakunihudumia Hadi Nimezaa, Anataka Nirudi
Nimedai Talaka Sababu Mume Ana Ukimwi Kisha Anataka Kuoa Mke Mwengine Nami Sikuwafiki
Nimekaa Eda Ya Uwongo Kwa Kuogopa Maneno Ya Watu
Nimemaliza Eda Ya Talaka Lakini Bado Ananipigia Simu, Je Inafaa?
Nimemdanganya Mume Wangu, Je, Nimeachika? Na Je, Inanipasa Nikae Eda?
Nimemkimbia Mume Wangu Kwa Sababu Ya Kunipiga.
Nimempa Talaka Mke Wa Mwanzo Lakini Bado Nampenda
Nimempa Talaka Mke, Ananidai Niuze nyumba Na Shamba Ili Apewe Kiwango Kikubwa Cha Mata'aa (Kitoka Nyumba)
Nimeshindwa Kuvumilia Mume Wangu Kuoa Mke Wa Pili, Je Naweza Kudai Talaka?
Nini Maana Ya Talaka Ya Ilaa Vipi Inatolewa?

Pages