27-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kuonja Chakula Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Mwenye Swawm Inafaa?

 

 

 

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

27-Kuonja Chakula Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Mwenye Swawm Inafaa?  

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Nini hukumu ya kuonja chakula katika mchana wa Ramadhwaan kwa mwanamke aliyefunga?

 

 

JIBU:

 

 

Si vibaya kulingana na haja iliyopo lakini ateme anachokionja baada ya kuonja.

 

 

 

Share