42-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Anapotokwa Na Majimaji Je Inatosha Aoshe Viungo Vya Wudhuu Pekee?

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

42-Anapotokwa Na Majimaji Je Inatosha Aoshe Viungo Vya Wudhuu Pekee?

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

 Kuhusuana na udhu wa majimaji hayo je itatosheleza kukosha viungo vya udhu tu?

 

 

JIBU:

 

 

Naam, itatosheleza hilo pindi ikiwa ni tohara nayo ni ambayo inatoka kwenye nyumba ya kizazi na sio kwenye kinena.

 

Share