Misamiati Yenye Asili Ya Lugha Ya Kiarabu

 

 

 

Misamiati (Maneno) Yenye Asili Ya Lugha Ya Kiarabu

 

Alhidaaya.com

 

 

 

1-Kazi hii ni pana mno, hivyo ni kazi ya kuendelezwa kuwekwa misamiati (maneno) kila tunapojaaliwa uwezo wa kukusanya.

 

2-Baadhi ya misamiati haya, ambayo yamezoleka katika jamii ya Kiswahili, yametumika katika Tarjama ya Qur-aan ya Alhidaaya.

 

3-Misamiati hii inapatikana katika Kamusi mbalimbali baadhi yao ni zifuatazo:

 

  • Kamusi Ya Kiswahili Sanifu – Tuki
  • Kamusi Ya Visawe    
  • English Coastal Swahili Dictionary
  • English-Swahili Dictionary – Tuki

 

 

 

           

 

Share