S-Misamiati Yenye Asili Ya Lugha Ya Kiarabu

Misamiati Yenye Asili Ya Lugha Ya Kiarabu

Alhidaaya.com

 

S

 

Neno

Maana

Kiarabu

sabihi

Kumtakasa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa).

سبح

sabiki

kutangulia kushindana

سبق

safihi

 mwenye akili ndogo, mpumbavu

سفيه

safu

safu, mpangilio wa watu au vitu katika mistari.

Mfano, kupangana safu katika Swalaah za Jamaah

صف

sahifa

ukurasa, maandiko.

صحف

sarabi

mazigazi/mangati

سراب

sarifu

kuelekeza, kufahamisha, kuelezea

صرف

sawa

sawasawa

سواء  سوى

sawia

sawasawa

سويا سوى

shahidi

anayeshuhudia jambo

 

شهيد

Shahidi, shuhadaa

Shahidi aliyeuliwa vitani vya Dini.

شهداء

shaytwaan

shetani, jini, ibilisi

شيطان

shughuli

kushughulika na jambo, kazi.

شغل

sihri

uchawi

سحر

sura

Suwrah ya Qur-aan

 

سورة

sura

sura ya mtu au kiumbe yaani uso wake

 

صورة

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Share