37-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kumuombea maiti baada ya kuzika

 

Kumuombea maiti baada ya kuzika:

 

 

Ilikuwa ndio ada ya Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) anapomaliza kuzika akisimama kaburini na husema, “Nyote muombeni Mwenyezi Mungu amsamehe ndugu yenu na amfanye thabiti kwani hivi sasa anahojiwa.” (Abu Daud na wengineo)

 

Share