38-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Je, Dua ya pamoja husihi?

 

 

Je, Dua ya pamoja husihi?

 

 

Tunajifunza kulingana na hadithi iliyopita makosa mbali mbali yenye kufanywa na watu wengi wanaposimama makaburini mmoja wao anasimama na kuanza kuomba dua kwa sauti kubwa na wengine huitikia Amin, ilivyo kama tunavyojifunza katika hadithi iliyotangulia ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) aliwaamrisha masahaba zake wamtakie maghfira maiti wao kila mmoja katika nafsi yake na amuombe Mwenyezi Mungu amthibitishe pindi atakapoulizwa na malaika wawili.

 

Share