15-Al-Lajnah Ad-Daaimah: Zakaatul-Fitwr Kwa Ajili Ya Mtoto Aliye Tumboni

Zakaatul-Fitwr Kwa Ajili Ya Mtoto Aliye Tumboni

 

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

Zakaatul-Fitwr ilipwe kwa ajili ya mtoto aliye bado tumboni mwa mama?

 

JIBU:

 

 

Inapendekezeka kulipa kwa sababu 'Uthmaan (Radhiya Allaahu 'anhu) alifanya. Lakini sio fardhi bali ni jambo linalopendezeka tu.

 

 

Wa biLLaahi At-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyina Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.

 

[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah]

 

 

Share