27-Hadiyth Al-Qudsiy: Wapendanao Kwa Ajili Ya Allaah Watawekwa Katika Kivuli Cha Allaah Siku Ya Qiyaamah

Hadiyth Qudsiy

Hadiyth Ya 27

Wapendanao Kwa Ajili Ya Allaah Watawekwa Katika Kivuli Cha Allaah Siku Ya Qiyaamah

 

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:  ((إِنَّ اللَّهَ يَقُولُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ: أَيْنَ الْمُتَحَابُّونَ بِجَلَالِي؟ الْيَوْمَ أُظِلُّهُمْ فِي ظِلِّي يَوْمَ لَا ظِلَّ إِلَّا ظِلِّي)) البخاري ومالك

Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) amehadithia kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Allaah Atasema siku ya Qiyaamah: Wako wapi wale wapendanao kwa (ajili ya) utukufu Wangu? Leo Nitawaweka kwenye kivuli Changu siku ambayo hakuna kivuli isipokuwa kivuli Changu]. [Al-Bukhaariy na Maalik]

 

 

Share