Swalaatul-Ghaaib: Muda Wa Kumswalia Maiti Swalaah Ya Ghaibu

SWALI

 Na kama kutatokea kufiwa na mtu wako alie mbali, jee infaa kumsalia siku yoyote hata kama kishazikwa.

 


JIBU:

Wanachuoni wanaonelea kuwa inafaa ikiwa hajaswaliwa na usipite muda mrefu sana, kama alivyofanya Mtume  صلى الله عليه وآله وسلم . kumswalia mama aliyekuwa akisafisha Msikiti.  

 

 

Share