008-Maswali 200 Na Majibu Ya 'Aqiydah: Sharti Za 'Ibaadah Ni Ngapi?

 

  200سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة

Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah

 

لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ 

Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)  

Imefasiriwa na:  Alhidaaya.com

 

008-Sharti Za Ibaadah Ni Ngapi

 

 

 

 

Swali:

كم شروط العبادة؟

 

 Sharti za ‘Ibaadah ni ngapi?

 

Jibu:

 

ثلاثة: الأول: صدق العزيمة وهو شرط في وجودها ,والثاني :إخلاص النية ,والثالث :موافقة الشرع الذي أمر الله تعالى أن لا يدان إلا به ,وهما شرطان في قبولها.

 

  • Kuna sharti tatu:
  • Kuwa na niyyah ya ukweli, ndio sharti la kuwepo kwake
  • Kuwa na niyyah safi

 

Liendane na shariy’ah ambayo Allaah Ameamrisha kutohukumiwa isipokuwa na kwazo, nazo ni sharti mbili za kukubaliwa kwake.

 

 

 

 

Share