07-Umuhimu Na Fadhila Za Tawhiyd: Nguzo Tano Za Kiislamu Zimeanzia Na Neno La Tawhiyd:

 

Umuhimu Na Fadhila Za Tawhiyd

 

07-Nguzo Tano Za Kiislamu Zimeanzia Za Neno La Tawhiyd

 

 

 

Nguzo tano za Kiislamu zimeanzia na Neno la Tawhiyd:

 

عن أبي عَبْدِ الرَّحْمنِ عَبْدِ اللهِ بنِ عُمَرَ بنِ الخَطابِ رَضيَ اللهُ عنهُما قال: سَمِعْتُ رسُولَ الله صلى الله عليه وسلم يقولُ: ((بُنَي الإسلامُ على خَمْسٍ : شهادَةِ أَنْ لا إلهَ إلا اللهُ وأَنَّ محمَّداً رسولُ اللهِ، وإقَامِ الصَّلاةِ، وإيتَاءِ الزَّكاةِ، وحَجِّ البَيْتِ، وصَوْمِ رَمَضَانَ ))

 

Kutoka kwa Abuu ‘Abdir-Rahmaan ‘Abdillaah bin 'Umar bin Al-Khattwaab (Radhwiya Allaahu ‘anhumaa) ambaye amesema: Nilimsikia Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: ((Uislamu umejengwa kwa nguzo tano: Kushuhudia na kukiri kwamba kuwa hakuna muabudiwa wa haki  isipokuwa Allaah na Muhammad ni Rasuli wa Allaah, na kusimamisha Swalaah, na Kutoa Zakaah, na kuhiji katika Nyumba (Makkah) na Swawm Ramadhwaan)).[Al-Bukhaariy na Muslim]

 

Share