Shaykh Fawzaan: Umejiandaaje Kuhusu Siku Ya Qiyaamah?

 
Umejiandaaje Kuhusu Siku Ya Qiyaamah?
 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 
 
 
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah) amesema:
 
 
"Si katika hikmah kuulizia kuhusu Qiyaamah, bali hikmah ni kuuliza kile unachokifanya na vipi umejiandaa na hiyo siku (Qiyaamah)."
 
[Al-Mihnatu Ar-Rabaaniyyah, uk. 89]
 
 
Share