03-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Tumuabudu Allaah kwa kumuogopa na kutumaini?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

03- Je, Tumuabudu Allaah kwa kumuogopa na kutumaini?

 

Naam! Tumuabudu Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kwa kumukhofu na kuwa na matumaini

وَادْعُوهُ خَوْفًا وَطَمَعًا ۚ

Na muombeni kwa khofu na matumaini.  [Al-A’raaf: 56]

 

Yaani: Kukhofu moto na kutumaini Jannah.

 

((أسألُ اللهَ الجنّة وأعوذ بِهِ مِن النّار)) صحيح رواه أبو داود .

((Namuomba Allaah Jannah na najikinga Kwake kutokana na moto)) [Swahiyh ameipokea Abuu Daawuwd]

 

 

Share