24-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inajuzu kuchinja bila kumkusudia Allaah?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

24-Je, Inajuzu kuchinja bila kumkusudia Allaah?

 

Hapana! Haijuzu kuchinja kwa malengo yasiyo ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kwa sababu ni shirki kubwa.

 

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَانْحَرْ ﴿٢﴾

Basi swali kwa ajili ya Rabb wako na chinja kwa ajili Yake. [Al-Kawthar: 2]

 

((لَعَنَ الله مَنْ ذبح لِغير الله))  رواه مسلم

((Allaah Humlaani anayechinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah)) [Muslim]

 

 

 

Share