32-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Waislamu wanapaswa wawe wanahukumu mambo yao kwa kufuata nini?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

32-Waislamu wanapaswa wawe wanahukumu mambo yao kwa kufuata nini?

 

Waislamu wanapaswa wahukumu kufuata Qur-aan na Sunnah ya Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam).

 

وَأَنِ احْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّـهُ

Na wahukumu baina yao kwa yale Aliyoyateremsha Allaah [Al-Maaidah: 49]

 

((الله هُوَ الْحكم وَإلَيْهِ المَصِير))  حسن رواه أبو داود

((Allaah ndiye mwenye kuhukumu na Kwake ndio marejeo)) [Hadiyth Hasan ameipokea Abuu Daawuwd]

 

 

 

Share