36-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Tunatakiwa tutawassal kwa Allaah kwa vipi?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

36-Je, Tunatakiwa tutawassal kwa Allaah kwa vipi?

 

Tunapaswa kutawassal kujikurubisha Kwake kwa kutaja majina Yake Mazuri, na Sifa Zake, na ‘amali njema zetu.

وَلِلَّـهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ فَادْعُوهُ بِهَا ۖ

 

Na Allaah Ana Majina Mazuri kabisa, basi muombeni kwayo.  [Al-A’raaf: 180]

 

((أَسْأَلُكَ بِكُلِّ اسْمٍ هُوَ لَكَ سَمَّيْتَ بِهِ نَفْسَكَ)) صحيح رواه أحمد  - صححه الألباني في السلسلة الصحيحة (199)

 ((Nakuomba kwa kila Jina ambalo ni Lako Ulilojiita Mwenyewe)) [Hadiyth Swahiyh ameipokea Ahmad na ameisahihisha Al-Albaaniy katika Silsilah Asw-Swahiyhah (199)]

 

 

Share