42-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nani kiumbe cha mwanzo na kipi kilichoumbwa mwanzo?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

42-Nani kiumbe cha mwanzo na kipi kilichoumbwa mwanzo?

 

Kiumbe cha mwanzo kabisa ni Aadam ('Alayhis-Salaam) na kitu cha mwanzo kuumbwa ni kalamu.

إِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي خَالِقٌ بَشَرًا مِّن طِينٍ ﴿٧١﴾

Pale Rabb wako Alipowaambia Malaika: “Hakika Mimi Namuumba mtu kutokana na udongo. [Swaad: 71]

 

((إنّ أوّلَ مَا خَلَقَ اللهُ الْقَلَم))  رواه أبو داود والترمذي، وقال: حسن صحيح

((Kitu cha kwanza Alichoumba Allaah ni kalamu)) [Abuu Daawuwd, At-Tirmidhiy amesema Hasan Swahiyh]

 

 

 

Share