46-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inafaa kufanya urafiki na makafiri na kuwasaidia?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

 

46-Je, Inafaa kufanya urafiki na makafiri na kuwasaidia?

 

Hapana! Haifai kufanya urafiki na kuwaandama makafiri na kuwasaidia.

 

 وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ

 Na yeyote atakayewafanya marafiki wao wandani; basi hakika yeye ni miongoni mwao.  [Al-Maaidah: 51]

 

((إنَّ آلَ أَبِي فُلَانٍ لَيْسُوا لِي بأولياء))  متّفق عَلَيهِ

لأنّهم من الكفّار

((Hakika watu wa kabila fulani si vipenzi vyangu))[Al-Bukhaariy, Muslim]

 

Kwa sababu wao ni makafiri.

 

 

Share