56-Kitaab At-Tawhiyd: Kisiombwe Chochote Kwa Wajihi Wa Allaah Isipokuwa Jannah

Mlango Wa 56

بَابٌ لا يُسْأَلُ بِوَجْهِ اَللَّهِ إِلاَّ الْجَنَّةُ

Kisiombwe Chochote Kwa Wajihi Wa Allaah Isipokuwa Jannah


 

 

عَنْ جَابِرٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ (صَلَّى اَللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ): ((لاَ يُسْأَلُ بِوَجْهِ اَللَّهِ إِلاَّ الْجَنَّةُ))  رَوَاهُ أَبُو دَاوُدَ

Imepokelewa kutoka kwa Jaabir (رضي الله عنه)  kwamba Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Kisiombwe chochote kwa Wajihi wa Allaah isipokuwa Jannah)) [Abuu Daawuwd]

 

 

Masuala Muhimu Yaliyomo:

 

 

1-Makatazo ya kuomba kitu kwa Wajihi wa Allaah (سبحانه وتعالى) isipokuwa Jannah ambayo jambo kuu kabisa. 

 

2-Kuthibitisha Sifa ya Allaah (سبحانه وتعالى) kuwa Ana Wajihi.

 

 

 

Share