013-Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kinga Ya Shari Ya Nafsi, Kuthibitika, Maghfirah Ya Dhambi Za Kila Aina

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

Kuomba Kinga Ya Shari Ya Nafsi, Kuthibitika Katika Hidaaya,

Maghfirah Ya Dhambi Za Kila Aina

 

 Alhidaaya.com

 

 

اللَّهُمَّ قِنِي شَرَّ نَفْسِي، وَاعْزِمْ لِي عَلَى أَرْشَدِ أَمْرِي، اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِي مَا أَسْرَرْتُ، وَمَا أَعْلَنْتُ، وَمَا أَخْطَأْتُ، وَمَا عَمَدْتُ، وَمَا عَلِمْتُ، وَمَا جَهِلْتُ

Allaahumma qiniy sharra nafsiy, wa a’-zim-liy ‘alaa arshadi amriy, Allaahummagh-fir-liy maa asrartu, wamaa a’-lantu, wamaa akh-twa-atu, wamaa ‘amadtu, wamaa ‘alimtu, wamaa jahiltu

 

Ee Allaah Nikinge shari ya nafsi yangu, na Nithibitishe katika uongofu bora kabisa wa mambo yangu, Ee Allaah, nighufurie niliyoyafanya kwa siri, na niliyoyafanya kwa dhahiri na niliyoyakosea, na niliyoyatenda kwa makusudi, na niliyoyafanya kwa kujua na niliyofanya kwa kutokujua. [Ahmad. Al-Haakim Adh-Dhahabiy amekubali na kuipa daraja ya Swahiyh. Tazama pia Majma’ Zawaaid (10/184)]

 

 

Share