064-Du'aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kuomba Kinga Maovu Ya Mchana, Usiku, Saa, Rafiki Muovu, Jirani Muovu

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

Kuomba Kinga Maovu Ya Mchana Na Usiku Na Saa,

Rafiki Muovu Na Jirani Muovu

 

 Alhidaaya.com

 

 

 أللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ  يَوْمِ السُّوءِ وَمِنْ لَيْلَةِ السُّوءِ وَمِنْ سَاعَةِ السُّوءِ وَمِنْ صَاحِبِ السُّوءِ وَمِنْ جَارِ السُّوءِ  فَي دَارِ الْمُقَامَةِ

Allaahumma inniy a’uwdhu bika min yawmis-suw-i wamin laylatis-suw-I, wamin saa’atis-suw-i, wamin swaahibis-suw-i, wamin-jaaris suw-i fiy daaril-muqaamati

 

Ee Allaah hakika mimi najikinga Kwako kutokana na siku ovu, na usiku muovu, na saa ovu, na rafiki muovu, na jirani muovu katika makazi ya kudumu. 

 

[Atw-Twabaraaniy - Majma’ Az-Zawaaid (10/144), Swahiyh Al-Jaami’ (1/411)]

 

 

 

Share