03- Imaam Ibn Baaz na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn : Je, I’tikaaf Inafaa Ki-Shariy’ah Miezi Mingineyo Isiyokuwa Ramadhwaan

Je, I’tikaaf Inafaa Ki-Shariy’ah Miezi Mingineyo Isiyokuwa Ramadhwaan?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

3. Je, I’tikaaf Inafaa Ki-shariy’ah Miezi Mingineyo Isiyokuwa Ramadhwaan?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Inafaa ki-shariy’ah Ramadhwaan na miezi mingineyo na ikiwa pamoja na Swiyaam ni bora zaidi.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (15/438)]

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Inapasa ki-shariy’ah iwe katika Ramadhwaan pekee, lakini ikiwa mtu atafanya I’tikaaf ghairi ya Ramadhwaan itakuwa inafaa.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/159-160)]

 

 

Share