13-Al-Lajnah Ad-Daaimah: Vyumba Vya Matumizi Vya Masjid Vinafaa Kutumika Kwa I'tikaaf?

Vyumba Vya Matumizi Vya Masjid Vinafaa Kutumika Kwa I'tikaaf?

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

13-Chumba Cha Mlinzi Na Chumba Cha Wasimamizi Wa Zakaah Katika Masjid; Je, Vinafaa Kutumika Kwa Ajili Ya I’tikaaf?

 

a. Vyumba vilivyomo ndani ya Msikiti pamoja na milango yake yote hukmu zake ni za Msikiti.

 

b. Lakini ikiwa ni nje ya Msikiti, basi si katika Msikiti ijapokuwa ikiwa milango yake imo ndani ya Msikiti.

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (10/412)]

 

 

Share