16-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: I’tikaaf Inaanza Lini?

I’tikaaf Inaanza Lini?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

16. I’tikaaf Inaanza Lini?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

‘Ulamaa wote wamekubaliana kwamba I’tikaaf inaanza usiku wa (kuamkia tarehe) ishirini na moja, na si Alfajiri ya ishirini na moja.  

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/160)]

 

Share