20-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Yepi Yanayopendekezeka Kwa I’tikaaf?

 

 

Yepi Yanayopendekezeka Kwa I’tikaaf?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

20. Yepi Yanayopendekezeka Kwa I’tikaaf?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Yanayopendekeza kwake ni mtu kujishughulisha na utiifu kwa Allaah (‘Azza wa Jalla) katika kusoma Qur-aan, na dhikru-Allaah, na Swalaah na kadhaalika, na wala asipoteze muda wake katika yasiyokuwa na faida humo.’

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/175)]

 

 

 

Share