03-Swalaah Ya Ijumaa: Wanaume Kuswali Ijumaa Misikitini Wanawake Nyumbani

 

Wanaume Kuswali Ijumaa Misikitini Wanawake Nyumbani

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Ni wajibu kwa wanaume kuswali Ijumaa pamoja na ndugu zao Waislamu katika nyumba za Allaah (Misikitini). Ama wanawake wao hawana Ijumaa na ni wajibu kwao kuswali Adhuhuri.

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/196)]

 

Share