08-Swalaah Ya Ijumaa: Wajibu Kwa Imaam Kuwasalimia Maamuma Baada Ya Kupanda Minbari

Wajibu Kwa Imaam Kuwasalimia Maamuma Baada Ya Kupanda Minbari

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Ni Sunnah kwa Khatwiyb (wa Ijumaa) kuwasalimia maamuma anapopanda minbari kabla ya kukaa kitako (kusubiri Adhana).

 

 

 [Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/234)]

Share