Shaykh Fawzaan: Kutwaharisha Mate Ya Mbwa Yaliyoingia Nguoni Na Ngozini

Kutwaharisha Mate Ya Mbwa Yaliyoingia Nguoni Na Ngozini

 

Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Vipi mtu ajitwaharishe mate ya mbwa pindi yanapoingia nguoni au ngozini kwa kulambwa na mbwa?

 

 

JIBU:

 

Aoshe mara saba.

 

 

[Sharhu ‘Umdatil-Fiqh, kanda namba 4, Swali la 1] 

 

 

Share