Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Ingelikuwa Si Kuogopa Adhabu Ya Allaah Kuficha ‘Ilmu Nisingelimfutu Mtu

 

 

Ingelikuwa Si Kuogopa Adhabu Ya Allaah Kuficha ‘Ilmu Nisingelimfutu Mtu

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

Amesema Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah):

 

“Isingelikuwa hizaya kuficha 'ilmu na kuogopa adhabu ya Allaah, nisingelimfutu yeyote (nisingelitoa Fatwa kwa mtu) lakini natoa Fatwa kutaraji kusalimka nayo.”

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (26/419]

 

 

Share