Imaam Maalik: ‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu

‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu

 

Imaam Maalik (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Amesema  Imaam Maalik (Rahimahu Allaah):

 

“Ilmu isichukuliwe kutoka kwa watu wa aina nne:

 

Mjinga anayefanya ujinga wake hadharani, hata kama amesimulia riwaya nyingi;

 

Na Mzushi anayelingania katika matamanio yake;

 

Na mtu anapoongea na watu husema uongo, hata kama simtuhumu kusema uongo katika Hadiyth;

 

Na mja mwema mfanya 'ibaadah sana ambaye hakumbuki (haihifadhi) anachokisimulia (katika Hadiyth)."

 

 

[Siyar A’laam An-Nubalaa (7/163)]

 

Share