06-Imaam Ibn Baaz: Inaruhusiwa Kubadilisha Ihraam Kwa Ajili Ya Kuikosha?

 

 

 Inaruhusiwa Kubadilisha Ihraam Kwa Ajili Ya Kuikosha?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Je, inaruhusiwa kubadilisha ihraam kwa ajili ya kuikosha?

 

 

JIBU:

 

Hakuna ubaya kuosha (nguo ya) ihraam au kubadilisha na kutumia nyingine ikiwa mpya au kukuu.

 

 

[Majmuw' al Fataawa Samaahat Shaykh ibn Baaz, Mjalada 6, Uk. 96, Fatwa Namba 45].

 

 

 

 

Share