03-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Kumfanyia Hajj Aliyekuwa Kilema

 

 

Kumfanyia Hajj Aliyekuwa Kilema

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Nina mtoto kilema ambaye namfikiria kuwa akifanya Hajj mwenyewe nakhofu kuwa atataabika na kupata madhara. Hivyo je, naweza kumfanyia Hajj?

 

JIBU:

 

Ikiwa mtoto ni kilema kama unavyosema, basi inaruhusiwa kumfanyia fardhi ya Hajj ikiwa wewe mwenyewe umeshafanya fardh ya Hajj.

 

 

[Liqa-aat al-Baab al-Maftuwh – Mjalada 1, Uk. 45, Namba 67]

 

Share