01-Imaam Ibn Baaz: Hukmu Ya Kuchinja (Udhwhiyah) Kwa Mwenye Uwezo

Hukmu Ya Kuchinja (Udhwhiyah) Kwa Mwenye Uwezo

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

 

Amesema Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah):

 

“Udhwhiyah ni Sunnah Muakkadah (Iliyosisitizwa) imewekewa Shariy'ah kwa wanaume na wanawake, na inatosheleza kwa mwanamme na watu wake wa nyumbani na kwa mwanamke na watu wake wa nyumbani.”

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (18/38)]

 

 

 

Share