06-Zawadi Kwa Wanandoa: Kumuusia Mke:

 

 

Zawadi Kwa Wanandoa

 

06-Kumuusia Mke

 

 استحباب وصية الزوجة 

 

 

 

Anas amesema: walikuwa Masahaba wa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam)  anapoelekea mke kwa mumewe, wanamuhimiza katika kumuhudumia mumewe na kuangalia na kuchunga haki zake.

 

 

Share