Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Jitahidi Kimbilia Kufanya Khayr Kila Mlango Wa Khayr Unapokufungukia

 

 Jitahidi Na Kimbilia Kufanya Khayr Kila Mlango Wa Khayr Unapokufungukia

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Inampasa Muislamu awe anajitahidi kukimbilia khayr kila unapomfungukia mlango wa katika milango ya khayr.”

 

 

[Sharh Riyaadhw Asw-Swaalihiyn, 326]

 

 

Share