074-Hiswnul-Muslim: Du’aa Ya Aliyealikwa Chakula Lakini Akawa Na Swawm

Hiswnul-Muslim

074-Du’aa Ya Aliyealikwa Chakula Lakini Akawa Na Swawm

www.alhidaaya.com

 

 

Bonyeza Hapa Usikilize

 

 

[185]

إِذَا دُعِيَ أَحَدَكُمْ فَلْيُجِبْ، فَإِنْ كَانَ صَائِماً فَلْيَصِلَ وَإِنْ كَانَ مُفْطِراً فَلْيَطْعَمْ.
(وَمَعَنَى فَليَصِلَ أَي فَلْيَدَعَ)
.

 

Akialikwa mmoja wenu aitike mwito, akiwa na Swawm basi aombe du’aa (kumuombea aliyemualika) na kama hana Swawm basi ale[1]

 

 

 

[1]Hadiyth ya Abu Huraryah (رضي الله عنه) - Muslim (2/1054) [1431].

 

 

Share