20-Fadhila Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kumuona Kwake Katika Ndoto Ni Kumuona Hakika

 

Fadhila Za  Nabiy  (صلى الله عليه وآله وسلم)

20-Kumuona Kwake Katika Ndoto Ni Kumuona Hakika

www.alhidaaya.com

 

 

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ:  قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم: ((مَنْ رَآنِي فِي الْمَنَامِ فَقَدْ رَآنِي فَإِنَّ الشَّيْطَانَ لاَ يَتَمَثَّلُ بِي))

Imepokelewa kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Atakayeniona katika ndoto basi hakika ameniona [ameniota] kwani shaytwaan hajifananishi na mimi)) [Al-Bukhaariy na Muslim]

 

 

Share