Wali Wa Sosi Ya Samaki Tuna Na Viazi
Vipimo:
Sosi Ya Tuna
Tuna (samaki/jodari) - 2 Vikopo
Vitunguu (kata kata) - 3
Nyanya katakata - 3
Viazi (vilivyokatwa vipande vidogo - cubes) - 4
Mchanganyiko wa bizari - 1 kijiko cha supu
Chumvi - kiasi
Kidonge cha supu – 1
Wali:
Mchele - 3 Vikombe vikubwa (Mugs)
Mdalasini - 1 kijiti
Karafuu - chembe 5
Zaafarani kiasi roweka
Chumvi kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1004&title=Wali%20Wa%20Sosi%20Ya%20Samaki%20Tuna%20Na%20Viazi