Adhabu Si Katika Mwili Mali Na Ahli
Bali Adhabu Mbaya Kabisa Ni Kuwa Na Maradhi Ya Moyo
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:
“Watu wengi wanadhania kwamba adhabu inahusiana katika siha ya mtu, afya, mali na watoto, bali kuwa na maradhi ya moyo na moyo uliofisidika ndio adhabi mbaya zaidi.”
[Ahkaam Min-Al-Quraan (1/87)]
Faida: Maradhi ya moyo yaliyokusudiwa ni yale yaliyotajwa katika Qur-aan kama shirki, bid’ah, unafiki, uhusuda, chuki, mafundo na vinyongo na kila aina ya maasi.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/227
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10156&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymin%3A%20Adhabu%20Si%20Katika%20Mwili%20Mali%20Na%20Ahli%20Bali%20Ni%20Kuwa%20Na%20Maradhi%20Ya%20Moyo