Mchicha Wa Bamia Na Sosi Ya Nyama
Vipimo
Mchicha uliokatwa mdogomdogo - 600 gm
Bamia (kata ndogo ndogo) - 2 Vikombe
Nyama ya ng'ombe kata vipande vidogodogo - 2 LB
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi - 1 kijiko cha chai
Pilipili mbichi iliyosagwa (au nyekundu ya unga) - 1 Kijiko cha chai
Vitunguu (kata vidogovidogo) - 3
Nyanya (kata ndogo ndogo) - 3
Nyanya ya kopo - 3 vijiko vya supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) iliyosagwa - 1 kijiko cha supu
Mafuta - ¼ kikombe
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/85
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1052&title=Mchicha%20Wa%20Bamia%20Na%20Sosi%20Ya%20Nyama