Mchuzi Wa Kamba (Prawns) Kwa Sosi Ya Nyanya Na Kotimiri
Vipimo
Kamba - 1 Lb
Vitunguu - 3 katakata
Nyanya - 4 zisage
Pilipili za kijani - kiasi 3
Kitunguu saumu (thomu/garlic) - 1 kijiko cha chai
Tangawizi - 1 kijiko cha chai
Uzile (bizari ya pilau ya unga-Jiyra) - ½ kijiko cha chai
Bizari ya mchuzi - 1 kijiko cha chai
Pilipili ya unga - ½ kijiko cha chai
Nyanya ya kopo - 2 vijiko vya supu
Chumvi - kiasi
Ndimu - nusu kamua
Kotimiri - kiasi katakata
Mafuta - 1/4 kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/108
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1055&title=Mchuzi%20Wa%20Kamba%20%28Prawns%29%20Kwa%20Sosi%20Ya%20Nyanya%20Na%20Kotmiri