Mchicha (Swiss Chard) Na Bamia
Vipimo
Majani ya Mchicha (Swiss Chard) - 4 - 5
Bamia - 150 - 250g
Chumvi - 1 kijiko cha chai
Mafuta ya zaituni - ½ kikombe
Maji - 1 gilasi
Kitunguu maji kilokatwakatwa - 1
Namna Ya Kutayraisha Na Kupika
Kidokezo:
Mboga hii ni aina ya mchicha ila hatujui inaitwaje kiswahili, ila tunajua inatiwa Swiss Chard.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/85
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3376&title=Mchicha%20%20%28Swiss%20Chard%29%20Na%20Bamia%20