Labania Za Maziwa
Vipimo
Maziwa ya unga - 2 vikombe
Sukari - 3 vikombe
Maji - 3 vikombe
Unga wa ngano - ½ kikombe
Mafuta - ½ kikombe
Iliki - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo:
Katika vipimo ni vizuri utumie kikombe cha kupimia (measuring cup)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/185
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4543&title=Labania%20Za%20Maziwa