Biskuti Za Tangawizi
Vipimo
Unga - 2 Vikombe
Cocoa ya unga - 1 Kijiko cha supu
Sukari ya hudhurungi - 1 Kikombe
Siagi - ¾ Kikombe
Yai - 1
Molasses - ¼ Kikombe
Baking soda - 2 vijiko vya chai
Mdalasini wa unga - 1 kijiko cha chai
Tangawizi mbichi - 1 kijiko cha supu
Karafuu ya unga - ½ kijiko cha chai
Chumvi ½ kijiko cha chai
Vanilla ½ kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
9-Chovya kila kiduara katikati sukari, kisha panga kwenye treya ya kuoka
10-Rudisha viduara katika friji kama nusu saa.
11-Oka katika oven 350ºF kwa muda wa dakika 15.
12-Toa biskuti kwenye oven na uache zipoe kama dakika kumi.
13Panga kwenye sahani tayari kuliwa.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/16
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4751&title=Biskuti%20Za%20Tangawizi