Steki Nyama Kondoo Ya Sosi Tamu/Kali Ya Nanaa, Ukwaju Na Jamu Ya Marmalade (Machungwa)
Vipimo
Steki ya nyama ya kondoo (Lamb steak) - 3- 4 LB
Vitunguu vya majani (spring onions) - 5 miche
Kitunguu saumu (thomu/galic) - 7 chembe
Pilipili mbichi - 5-6
*Sosi ya nanaa ya tayari - 2 vijiko vya supu
Jam ya marmalade (machungwa) - 2 vijiko vya supu
Ukwaju ulokamuliwa - 1 kikombe cha chai
Jiyra/cummin/bizari ya pilau - 1 kijiko cha chai
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo:
Ikiwa hupati sosi ya nanaa ya tayari dukani, unaweza kutumia majani ya nanaa kiasi ya misongo 3 (bunches). Saga pamoja na viungo katika mashine ya kusagia na uongeze ukwaju kidogo.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/107
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4930&title=Steki%20Nyama%20Kondoo%20Ya%20Sosi%20Tamu%2FKali%20%20Ya%20Nanaa%2C%20Ukwaju%20Na%20Jamu%20Ya%20Marmalade%20%28Machungwa%29