SWALI:
Assalam aleikum Warmatullah Wabarakatu me ningependa kufahamu ni viumbe gani wameishi duniani bila ya kukaa matumboni mwa mama zao? WABILLAH TAWFIQ
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Shukrani zetu kwa swali lako kuhusu viumbe walioishi duniani bila kukaa kwenye matumbo ya mama zao. Miongoni mwao ni:
Na Allaah Anajua zaidi
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/35
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F5018&title=Viumbe%20Gani%20Wameishi%20Duniani%20Bila%20Kukaa%20Matumboni%20Mwa%20Mama%20Zao%3F