Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu - 01
Kauli "Allaah Yupo Katika Kila Zama Na Kila Sehemu"
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
"Kauli hii ni baatwil, na haya ni maneno wayasemayo watu wa bid'ah.
Bali Allaah Yupo juu ya 'Arsh, juu ya viumbe Vyake vyote."
[Al-Fataawaa, juz. 6, uk. 434]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7342&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Makosa%20Yaliyoenea%20Kwenye%20Ndimi%20Za%20Watu-01%3A%20Kauli%20%22Allaah%20Yupo%20Katika%20Kila%20Zama%20Na%20Kila%20Sehemu%22%20