Mikate Ya Hamira Na Ufuta Ya Kuoka (Baked)
Vipimo
Unga - 4 mugs (vikombe vikubwa)
Hamira - 1 Kijiko cha kulia
Mtindi (Yoghurt) - 1 kijiko cha kulia
Yai - 1
Samli - 1 kijiko cha kulia
Tui la nazi au maziwa - 1 ½ mug (takriban)
Chumvi - kiasi
Ufuta - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7431&title=Mikate%20Ya%20Hamira%20Na%20Ufuta%20Ya%20Kuoka%20%28Baked%29