Hukmu Ya Kutikisa Kichwa Wakati Wa Kutoa Salaam
Aliulizwa Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah):
Kuna baadhi ya watu, wakati wa kutoa salaam baina ya salaam ya kwanza na salaam ya pili (katikati ya salaam) hutikisa kichwa kuelekea chini; je, ni ipi hukmu ya hilo?
Akajibu kwa kusema:
Jambo hilo halina asili na ni makruhu kufanya hivyo kwani hakuna asili (dalili) juu ya hilo.
[Fataawa Nuurun 'Alaa Ad-Darb, juzuu 9, uk. 29]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7494&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Hukmu%20Ya%20Kutikisa%20Kichwa%20Wakati%20Wa%20Kutoa%20Salaam